Wanaume ni Makomandoo wa Kristo
Ee Bwana, fufua kazi yako katikati ya miaka...
Tanzania Assemblies of God – Jimbo la Ubungo
Christian Men's Fellowship (CMF) una historia ndefu katika TAG. Kwanza, wazo lilianza kama shauku ya uongozi wa Kanisa kitaifa. Pili, ilitokana na hitaji la wanaume wenyewe, na vilevile lilikuwa ombi la muda mrefu kutoka kwa Idara ya Wanawake Watumishi wa Kristo (W.W.K) wa kanisa letu.
Idara hii ni Mahususi kwa ajili ya kuwaunganisha wanaume wote wa TAG ikiwemo wababa na vijana wa kiume. Mwaka 2008, chini ya Askofu Dr. Barnabas Mtokambali, TAG ilitengeneza Dira ya Maendeleo ya Kanisa yenye mkakati wa "Anzisha Idara ya Wanaume".
Kuwa chama chenye nguvu cha wanaume wanaomheshimu Mungu na kutumikia jamii.
Kujengana katika imani, familia, na kufanya kazi ya Mungu ndani ya jamii zetu.
Tanzania Assemblies of God
All The Gospel – All The World
Jinsi inavyopangwa Idara ya Wanaume katika Jimbo la Ubungo
Wanaotupopea katika safari ya imani
Viongozi vitaongezwa hivi karibuni.
Wakati wa pamoja katika kazi ya Mungu
Picha za matukio zitaongezwa hivi karibuni.
Ingia kwenye dashibodi – angalia michango, wasifu wako, na taarifa za CMF Jimbo la Ubungo.
login Ingia SasaTupigie moja kwa moja au tuma barua pepe
Ubungo, Dar es Salaam